Dr. William Mgimwa
Taarifa ya kuaminika iliyoifikia blog hii kutoka nchini Afrika kusini, inaeleza kua waziri wa fedha, Dr. William Mgimwa (pichani) amefariki dunia leo katika hospitali ya Mediclinic Kloff alopokua amelazwa kwa matibabu.
Dr. William Mgimwa alikua akisumbuliwa na maradhi ya presha kwa muda mrefu.
Mungu aiweke roho yake mahala pema peponi....AMINA.
Taarifa kamili itawajia hivi punde.
Taarifa kamili itawajia hivi punde.
No comments:
Post a Comment