Monday, January 6, 2014

RAISI WA SUDAN YUPO JUBA KWA MAZUNGUMZO.

Raisi wa Sudan Omar Al Bashir amewasili katika mji wa Juba kwa ajili ya mazungumzo yake na raisi Salva Kiir juu ya mzozo na Sudan ya kusini.

Watu wasiopungua 1,000 wameuliwa toka mzozo ha uanze tarehe 15 December na watu wanaokaribia 200,000 wamehama makazi yao.

Kupotea kwa amani kulianza baada ya raisi wa Sudan wa kusini kumshuku Mr. Machar kwa kujaribu ufanya mapinduzi ambayo yeye anakataa.

Mapigano yamekua yakiendelea wakati mazungumzo yanashika nafasi, kama Alastair Leithead anavyo ripoti.

Kwa taarifa zaidi bofya hapa.

No comments:

Post a Comment